Kenyatta Amaliza Ziara Yake Chato

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, ammaliza ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini mwake. Katika ziara yake hiyo Kenyatta, amemjulia hali mama mzazi wa Rais Dkt. John Magufuli ambaye anaendelea na matibabu nyumbani kwake Chato, Geita.



Kenyatta ameagana na mwenyeji wake, Rais Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Chato. Katika ziara hiyo, marais hao wamesisitiza kudumisha amani na uhusiano mzuri katika nchi za Jumuiya Afrika Mashariki na kushirikiana katika mambo mbalimbali ikiwemo biashara.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad