Kocha wa Simba Afunguka Kuhusu Kambi ya Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha Mkuu wa Simba SC, Patrick Aussems amefunguka mara  baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Orlando Pirates kumalizika kwa sare ya kufungana goli 1-1.

Aussems amesema ameridhika kwa namna timu yake ilivyocheza mchezo huo na kambi waliyoweka nchini Afrika Kusini imekuwa yenye mafanikio sana.

“Tumemaliza kambi na Orlando Pirates ambao wapo tayari kuliko sisi [muda walitumia kujiandaa na msimu mpya] lakini tumecheza vizuri. Napenda kuwapongeza wachezaji wangu tulikuwa na wakati mzuri sana Rustenburg, kila mmoja kafanya kazi nzuri tunaweza kusema hii kambi imekuwa nzuri sana na nimeridhishwa” amesema Kocha huyu.

Huo ulikuwa mchezo wa nne wa kujipima nguvu kwa Simba SC katika kambi yake ya Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya, baada ya awali kushinda mechi mbili mfululizo na kutoa sare moja.
HABARI HIZI ZOTE UTAZIPATA KATIKA APP YETU YA MUUNGWANA BLOG  BOFYA HAPA KU-DOWNLOAD SASA .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad