Kocha wa Simba Ataka mabadiliko ya lazima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuelekea msimu wa soka wa 2019/20, Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems, amesema wachezaji wake wanatakiwa kuwa na uwezo wa kucheza zaidi ya nafasi moja uwanjani.

Aussems ameyasema hayo kwenye kambi ya Simba waliyoweka huko Rustenburg Afrika Kusini, ambapo yupo na timu kwaajili ya maandalizi ya msimu huu.

“Kwasasa nataka kuona wachezaji wakicheza nafasi zaidi ya moja sababu huu msimu nataka kuwa na mifumo miwili au mitatu”- amesema Aussems.

Aussems alianza majaribio ya jambo hilo kwa wachezaji wake katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Platinum Stars, ambapo wachezaji walicheza zaidi ya nafasi moja na Simba kushinda magoli 4-1.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad