AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aussems ameyasema hayo kwenye kambi ya Simba waliyoweka huko Rustenburg Afrika Kusini, ambapo yupo na timu kwaajili ya maandalizi ya msimu huu.
“Kwasasa nataka kuona wachezaji wakicheza nafasi zaidi ya moja sababu huu msimu nataka kuwa na mifumo miwili au mitatu”- amesema Aussems.
Aussems alianza majaribio ya jambo hilo kwa wachezaji wake katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Platinum Stars, ambapo wachezaji walicheza zaidi ya nafasi moja na Simba kushinda magoli 4-1.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK