Kupatwa Kwa Mwezi Usiku wa leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya hali ya hewa nchini TMA, imesema usiku wa Julai 17, kutatokea hali ya kupatwa kwa mwezi, ambapo tukio hilo hujirudia mara chache sana katika maeneo husika.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo, imeeleza kuwa tukio hilo ni la kupatwa kwa mwezi sehemu (Penumbra), ambalo litaonekana katika nusu ya Dunia, hususani maeneo ambayo tarehe hiyo itakuwa usiku, ikiwemo Ulaya, Asia, Australia na Afrika.

Kwa hapa nchini  hali hiyo inatarajiwa kuonekana majira ya saa 3 hadi saa 9 usiku.

Aidha imeelezwa kuwa tukio hilo halina athari yoyote, ila upo uwezekano wa kuongezeka kwa kina cha maji katika bahari na kwamba hali hiyo inaelezwa kusababishwa na mvutano  kati ya mwezi na maji katika bahari.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad