AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Magufuli ametoa ahadi hiyo jana Alhamisi Julai 25, 2019 wakati akizungumza na wananchi eneo la Kisaki lililopo katika halmashauri ya Morogoro vijijini huku akitoa agizo kwa mawaziri wake, Ummy Mwalimu (afya) na Seleman Jafo wa Tamisemi kuhakikisha wanasimamia ujenzi huo haraka.
Rais Magufuli alifikia uamuzi huo, baada ya wakazi hao kumweleza hawana kituo cha afya katika eneo hilo.
“Kwanini hakuna kituo cha afya na kuna watu wengi hapa? Nataka kituo cha afya kianze kujengwe mara moja nitamuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) ashughulikie.”
“Nawapa siku saba tafuteni eneo, tujenge hospitali ambayo imejengwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk John Magufuli,” alisema Magufuli huku akishangaliwa na umati wa wakazi wa Kisaki waliojitokeza kumsikiliza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK