Rais Magufuli achangia Milioni 400 za ujenzi kituo cha afya Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli ameahidi kutoa Sh400 milioni kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kisaki kilichopo mkoani Morogoro huku akiwataka wakazi eneo hilo kuchapa kazi.

Magufuli ametoa ahadi  hiyo jana  Alhamisi Julai 25, 2019 wakati akizungumza na wananchi eneo la Kisaki lililopo katika halmashauri ya Morogoro vijijini huku akitoa agizo kwa mawaziri wake, Ummy Mwalimu (afya) na Seleman Jafo wa Tamisemi kuhakikisha wanasimamia ujenzi huo haraka.

Rais Magufuli alifikia uamuzi huo, baada ya wakazi hao kumweleza hawana kituo cha afya katika eneo hilo.

“Kwanini  hakuna kituo cha afya na kuna watu wengi hapa? Nataka kituo cha afya kianze kujengwe mara moja nitamuagiza Waziri wa  Nchi Ofisi ya Rais (Tamisemi) ashughulikie.”

“Nawapa siku saba tafuteni eneo, tujenge hospitali ambayo imejengwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk John Magufuli,” alisema Magufuli huku akishangaliwa na umati wa wakazi wa Kisaki waliojitokeza kumsikiliza.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad