Rais Magufuli: Bashe Nakusikilizaga Sana Bungeni michango yako'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa anamsikilizaga sana Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe ambaye ni Naibu Waziri wa Kilimo kwasasa.

Rais Magufuli amesema kuwa michango ya Mbunge huyo ni mizuri anatoa uchambuzi na umemvutia sana hivyo ametaka zile za Bungeni sasa aziweke kwenye utekelezaji.

"Nakusikilizaga sana bungeni, michango yako ni mizuri, unatoa analysis na zimenivutia, zile zilikuwa za bungeni sasa ziwe kwenye utekelezaji, na ukatekeleze kwelikweli," amesema Rais Magufuli katika hafla ya kuwaapisha viongozi aliwateua jana.

 Hata hivyo, Bashe alimuahidi Rais Magufuli kuwa hatomuangusha kwenye Wizara ya Kilimo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad