Ray Atamba na Mwanaye Jayden

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWIGIZAJI mkubwa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ ametamba kuwa, mwanaye wa kiume, Jayden aliyezaa na mwigizaji Chuchu Hans anamfanya kutembea kifua mbele kwani amempa chapa na heshima.  Akichonga na Shusha Pumzi, Ray alisema mtoto wake huyo amempa alama isiyofutika na kuna wakati mwingine anatoa machozi ya furaha kutokana na cheo cha ubaba alichompa.

“Hivi unajisikiaje mtoto wako umezaa anafanana na wewe kila kitu? Kingine mwanangu amenipa heshima ambayo sijaipata miaka yote. Kiukweli Jayden wangu amenipiga chapa ya ushujaa,” alisema Ray.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad