Spika wa Bunge la Tunisia Ateuliwa Kuwa Rais was Mpito Baada ya Rais Wake Kufariki Jana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Spika wa Bunge la Tunisia Mohamed Ennaceur, ameteuliwa kuwa Rais wa mpito wa nchi hiyo baada ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Beji Caid Essebsi, kuaga dunia mapema Alhamisi ya Julai 25.


Spika huyo wa Bunge anatarajiwa kuapishwa mapema siku ya Alhamis, ambapo Waziri Mkuu wa nchi ya Tunisia ametangaza siku saba za maombolezo.

Rais Essebsi amefariki akiwa na umri wa miaka 92 na kwamba amefariki akiwa hajamaliza muhula wake wa Urais.

Inaaminika kuwa Essebsi ndiye Rais mkongwe zaidi duniani ambapo aliingia madarakani baada ya kushinda uchaguzi huru wa kwanza wa nchi hiyo, kufuatia vuguvugu la maandamano katika mataifa ya kiarabu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad