Taifa Stars Yajipanga Kufanya Vizuri Michuano ya CHAN

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

JUMA Kaseja, mlinda mlango wa timu ya KMC ambaye ameteuliwa na Kaimu Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Ettiene Ndayiragije kikosi cha timu ya Taifa amesema kuwa watapambana kupata matokeo chanya mbele ya Kenya.

Stars itamenyana na timu ya Kenya, Julai 28 uwanja wa Taifa kwenye michuano ya Chan ambapo jumla ya wachezaji 26 wamechaguliwa na wapo kambini.

Akizungumza na Saleh Jembe, Kaseja amesema kuwa kitu cha kwanza ni kupambana kwa ajili ya Taifa mengine yatafuata.

"Kazi yetu ni kupambana kwa kuwa ni Taifa moja, imani yetu ni kuona tunapata matokeo chanya kwenye mchezo wetu dhidi ya Kenya.

"Wachezaji tumejipanga na tunajua kwamba mashabiki wanahitaji matokeo chanya hicho ndicho tutakachokifanya," amesema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad