Unaambiwa Mchezaji Roger Milla Alifunga Goli Kombe la Duania Akiwa na Umri wa Miaka 42...Kupewa Tuzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchezaji wa zamani Cameroon Albert Roger Mooh Milla, Septemba 7 atapewa tuzo na Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kwa kufunga bao akiwa na miaka 42.

Mpaka sasa imeshapita miaka 20 tangu nyota huyo apachk bao hilo kwenye michuano ya Kombe la Dunia.

Bao hilo alifunga kwenye mchezo wa timu yake ya Taifa ya Cameroon dhidi ya Urusi mwaka 1994 na kwa sasa ana umri wa 67

Tuzo hiyo itakuwa ni ya mfungaji mwenye umri mkubwa zaidi katika Kombe la Dunia na itatolewa Septemba 7 nchini Sweden.

Kwenye mchezo huo ambao ulichezwa uwanja wa Stanford nchini Marekani, Cameroon ilipoteza kwa kufungwa mabao 6-1 na timu ya Urusi ambayo nayo ilikuwa imeshatolewa kwenye michuano hiyo mikubwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad