AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dar es Salaam. Wakati baadhi wakibashiri kuwa malalamiko ya makatibu wakuu wa zamani wa CCM, Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana yanakigawanya chama na kukidhoofisha, wapo wanaoona kuwa huo ni upepo unaovuma na hupita na kukiacha chama salama.
Wawili hao waliliandikia baraza la ushauri la viongozi wastaafu, wakidai wanachafuliwa na mtu ambaye anaonekana anakingiwa kifua na watu wenye mamlaka, barua iliyoibua mijadala sehemu tofauti, lakini ikiibua wana-CCM ambao wanaponda kitendo hicho.
Lakini wanasiasa na wasomi waliozungumza na Mwananchi wamesema suala hilo linaweza kuwa ni mwendelezo wa fukuto linalojitokeza kila wakati rais kutoka CCM anapokaribia kumaliza awamu yake ya kwanza ya miaka mitano.
By Ibrahim Yamola, Mwananchi iyamola@mwananchi.co.tz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK