Wahamiaji 150 wahofiwa kufa baada ya boti kuzama pwani ya Libya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zaidi ya wahamiaji 100 waliokuwa wakielekea Ulaya hawajulikani waliko na inahofiwa wamekufa maji baada ya boti walizokuwa wakisafiria kuzama katika pwani ya Libya.

Hayo yamesemwa na Shirika la Wahamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM, pamoja na walinzi wa pwani nchini Libya.

Ayoub Gassim, ambaye ni msemaji wa walinzi wa pwani nchini Libya, ameliambia shirika la habari la Associated Press kuwa boti mbili zilizowabeba takriban wahamiaji 300 zilizama yapata kilomita 120 mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

Ameongeza kuwa wahamiaji 137 waliokolewa na kurudishwa Libya, lakini hadi sasa walinzi wa pwani wamefaulu kuopoa mwili mmoja pekee.


Charlie Yaxley ambaye ni msemaji wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa, UNHCR, amesema wanakadiria kuwa wahamiaji 150 miongoni mwao wanawake na watoto, hawajulikani waliko na wanahofiwa kufa maji.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad