Zahera Ataja Mchezaji Mmoja Aliyesalia Kutua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa usajili wa klabu hiyo umekamilika kwa asilimia kubwa na malengo yametimia kuelekea msimu mpya wa 2019/20.

Akizungumza ikiwa ni siku ya pili tangu aliporejea kambini Yanga, kocha Zahera amesema kuwa sasa amebakiza mchezaji mmoja pekee ambaye akishawasili watakuwa wamekamilisha rasmi usajili.

"Malengo tuliyokuwa tumeweka kwenye usajili yametimia, amebaki mchezaji mmoja (mshambuliaji) alipaswa kuingia juzi nadhani ataingia leo", amesema Zahera.

"Akifika huyo striker mambo yote ya usajili yatakuwa sawa", ameongeza.

Klabu ya Yanga ipo katika 'wiki ya Wananchi' iliyozinduliwa hivi karibuni ikiwa na lengo la kuhamasisha wanachama na mashabiki katika kufanya shughuli mbalimbali za kijamii mpaka siku ya kilele chake, Agosti 4 ambapo itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Kariobangi Sharks ya Kenya.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad