Atakayenioa Hajulikani Kirahisi - Lulu Diva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri kwenye anga la Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa licha ya watu kumhusisha na wanaume wengi tofauti lakini mwanaume halisi ambaye atamuoa hawatamjua kirahisi.  Akizungumza na Gazeti la Amani, Lulu Diva amesema mbali na wanaume wengi ambao watu wameona mapichapicha mitandaoni, mhusika halisi hawatamjua mpaka aamue.

“Unajua watu wanaona tu mitandaoni watashangazwa sana na mimi kwa sababu mengi yanayosemwa si ya kweli lakini siku watasikia tu nishaingia kwenye ndoa na ni mke wa mtu, mume wangu hawawezi kumjua kirahisi,” alisema Lulu Diva.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad