AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ndani ya siku saba, hiyo Ultra Sound iwe imenunuliwa na ikabidhiwe kwangu. Siku saba zikiisha mtu hajatoa hiyo fedha afukuzwe kazi. Kama kuna mtu atahoji huko juu anihoji mimi na kama itaonekana nimefanya maamuzi yasiyofaa acha niende nyumbani,” amesema Kiswaga.
Aidha, amesema yupo tayari kufukuzwa kazi kwa kusimamia hili huku akimwagiza Ofisa Utumishi kumfukuza kazi mtumishi yeyote atakayekaidi agizo hilo ndani ya siku saba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK