Gor Mahia Kumtambulisha Kocha Muingereza Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gor Mahia Kumtambulisha Kocha Muingereza Leo
Mabingwa wa Ligi ya kitaifa nchini Kenya (KPL), Gor Mahia hii leo wanatarajiwa kumtambulisha rasmi kocha wao mpya Steve Polack kutoka Uingereza.

 Kocha huyo mgeni ataanza kazi mara moja kuandaa timu hiyo kuenda Bujumbura kukabiliana na wenzao wa Burundi kwenye mechi ya kufuzu mashindano ya kombe la CAF.

Polack mwenye umri wa miaka 58 aliwasili nchini Kenya jana anachukua usukani kutoka kwa Mturuki Hassan Oktay ambaye alijiuzulu hivi majuzi akitaja sababu za kibinafsi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad