AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kadhia hiyo haikutokea sokoni au mtaani, bali ni kwenye ukumbi wa Bunge la Kaunti ya Homa Bay, Magharibi kwa Kenya.
“Mheshimiwa Spika, mmoja wetu hapa amechafua hali ya hewa,” alisema Julius Gaya kwenye kikao cha Bunge.
Lakini mjumbe aliyerushiwa lawama za kujamba alikanusha vikali akisema: “Sio mimi. Siwezi fanya kitendo kama hicho mbele ya wenzangu.”
Katika jitihada za kupambana na harufu hiyo, Spika Edwin Kakach akaamuru wajumbe wote watoke nje kwa muda.
Ripoti pia zinaeleza kuwa aliagiza marashi ili kuleta harufu nzuri. “Lete (marashi) ya aina yeyote utakayoyakuta ofisini kwangu, hatuwezi kuendelea kukaa kwenye mazingira ya kunuka.”
Hata hivyo inadaiwa harufu hiyo ilikatika kabla ya marashi hayo kupatikana hali iliyoruhusu kikao kuendelea.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK