AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Legend akiongea na TMZ jana Jumatano Julai 31 , 2019, Amesema kuwa “Nadhani Rais wetu anavijitapia vya kijinga, Mtu ambaye badala ya kutukutanisha yeye ndio kwanza anatugawa. Nadhani kuna ulazima wa kumtoa madarakani,“.
Kwa wiki mbili sasa, Rais Trump amekuwa akishutumiwa kwa kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya wabunge wanawake nchini Marekani.
Rais Trump alitamka wazi kuwa Wabunge wanne wa Chama pinzani cha Democrats, ambao asili yao sio Marekani waondoke nchini humo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK