Mahabusu Wafikishwa Mahakamani Wakiwa Walevi Chakari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakenya Alhamisi, Agosti 15, walipigwa na butwaa baada ya mahabusu waliokuwa wameratibiwa kufikishwa mbele ya jaji wa mahakama ya Kibera kulewa chakari.

Mahabusu hao walifika kwenye mahakama hiyo lakini ikawa ngumu kwa wao kujibu mashtaka kwani wengi walizidiwa na kulala chini kifudifudi.

Wakenya walilalamika kwenye mitandao ni vipi maafisa wa polisi waliamua kuwafikisha walevi mahakama ikizingatiwa hawangeweza kujibu mashtaka yoyote. 

Haikubainika ni viti washukiwa hao walipata kuwa walevi kwani kwa kawaida hakuna pombe ambayo hukubaliwa kwenye vituo vya polisi. Vile vile katiba inaruhusu mshukiwa kuzuiliwa kwa masaa kadhaa mradi tu yasipite 24 na hivyo washukiwa hao wangezidi kutuliza kituoni mpaka pombe itulie.

Onyango Ochieng Jr.
But why would you even take a drunk to court!!! These are people who should be granted free bail at the police station and warned not to repeat their drinking. Otherwise, we are wasting courts time. Let's leave Judiciary to handle more serious issues ailing the country .
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad