Kiongozi wa Hong Kong Asema Hatajiuzulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiongozi wa Hong Kong Asema Hatajiuzulu
Kiongozi wa Hong Kong Carrie Lam ameendelea kusisitiza kwamba hana mipango ya kujiuzulu katika wakati ambapo vuguvugu la wanaounga mkono demokrasia lililofanya maandamano makubwa hii leo likisababisha kuahirishwa kwa zaidi ya safari 100 za ndege na mtafaruku mkubwa kwenye usafiri.

Mapema asubuhi ya leo waandamanaji walizuia treni na milango ya kuingilia kwenye vituo na kufunga barabara na reli zinazopita chini ya ardhi.

Hatua hiyo imesababisha abiria wengi kujazana vituoni na wengine kulazimika kupatiwa huduma za dharura kutokana na kadhia hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad