Miili ya ajali ya Lori la Dangote yashindwa kutambulika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Miili ya ajali ya Lori la Dangote yashindwa kutambulika
Miili ya marehemu watano waliofariki kwenye ajali ya lori la Dangote lililogongana na gari ndogo kisha kuwaka moto, imehamishiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa na uchunguzi zaidi baada ya baadhi kushindwa kutambulika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amesema miili ya watu watatu waliokuwa kwenye Lori la Dangote haijaweza kutambulika mara moja kutokana na kuteketea kwa moto.

Aidha Kamanda Onesmo amesema chanzo cha ajali bado kinachunguzwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad