Nigeria Yajitoa Michuano ya Afrika kwa Wenye Ulemavu kwa Kukosa Fedha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Timu ya taifa ya mchezo wa wavu ya wenye ulemavu ya Nigeria imejitoa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika mchezo wa wavu kwa wachezaji wenye ulemavu.

Katibu mkuu wa kamati ya michuano hiyo Celestin Nzeyimana amethibitisha kujitoa kwa Nigeria, na kueleza kuwa, sababu kubwa ni ukosefu wa fedha ndio umechangia.

Michuano hiyo inayotajiwa kufanyika jijini Kigali Rwanda, ambapo Rwanda wanakuwa wenyeji wa michuano hiyo kwa mara ya tatu sasa. Michuano hiyo itatoa timu zitakazowakilisha bara la Afrika katika mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika mwakani nchini Japan.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad