Msanii Tekno akamatwa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi wa Jiji la Logos nchini Nigeria, wamemkamata msanii na mtayarishaji wa muziki nchini humo Tekno Miles pamoja na wasichana wawili.


Polisi wamesema wamemkamata staa huyo kwa sababu ya kumuuliza maswali na kumfanyia uchunguzi kwa tukio ambalo amelifanya wikiendi iliyopita.

Wikiendi iliyopita zilienea video katika mitandao ya kijamii zikionyesha Tekno akiwarekodi wasichana watatu wakiwa wanacheza huku nusu ya maungo ya miili yao yakiwa wazi na yeye akiwatunza pesa.

Siku ya Jumapili Tekno aliomba msamaha kwa kutumia barua baada ya kufanya tukio hilo na amesema wasichana hao amewatumia katika video yake mpya itakayotoka siku za hivi karibuni, na wala hakuwa na nia mbaya kuwarekodi video hizo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad