AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezaji wa Man United Paul Pogba amekumbana na matusi ya ubaguzi wa rangi mtandaoni baada ya kupoteza penalti dhidi ya Wolves katika mechi ya kusisimua.
Timu hizo zilikuwa sare ya 1-1 katika kipindi cha pili wakati raia huyo wa Ufaransa alipopewa nafasi ya kupiga penalti baada ya kuchezewa visivyo.
Mashabiki wa Man United walishikwa na hasira mechi hiyo ilipomalizika kwa sare na kumwekea Pogba lawama zote kuwa ni kikwazo kwa wao kutoambulia alama tatu muhimu kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu nchini
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK