AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Buhari ameeleza kuwa fedha za kigeni zilizoko Benki Kuu zinapaswa kutunzwa na kutumika pale ambapo kuna hitaji la msingi linaloweza kuinua uchumi wa nchi na sio kuhamasisha utegemezi wa vyakula kutoka nje.
“Usitoe hata senti moja kwa mtu yeyote kwa ajili ya kuingiza chakula nchini,” msemaji wa Rais Buhari, Garba Shehu amemkariri kiongozi huyo kupitia mtandao wa Twitter.
Nigeria ni taifa lenye nguvu zaidi ya kiuchumi barani Afrika ikiwa na watu takribani milioni 200, lakini imekuwa ikitegemea vyakula kutoka nje ya nchi.
Rais Buhari ambaye alishinda uchaguzi kwa awamu ya pili mapema mwaka huu, aliwaahidi wananchi wake kuwa atahakikisha uchumi wa nchi unakuwa pia kupitia sekta ya kilimo.
Uchumi wa Nigeria unategemea zaidi sekta ya viwanda na uzalishaji wa mafuta ambao umeifanya kuwa taifa linaloongoza kwa uchumi Afrika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK