AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
SAUTI SOL "Yamoto walikuwa “wanapendwa, Yamoto walitupa presha hadi tukaona tukaze kamba, walikuwa wakiimba vizuri na kucheza. Ukitaka kujua kwamba Yamoto walikuwa noma, wote sasa hivi wamesimama kila mmoja peke yake na wanafanya vizuri!.
Walikuwa wanakuja Mombasa, Nairobi kote wanajaza, sisi pia tulikuwa mashabiki wao wakubwa!" ||
Wameyasema hayo #Sautisol katika kipindi cha #LeoTena
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK