AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Msemaji Mkuu wake Dkt Hassan Abbasi imetoa ufafanuzi kuhusu ndege ya ATCL kuzuiliwa Afrika Kusini kwa amri ya Mahakama Kuu Nchini humo, huku ikibainisha kuwa chanzo ni Kesi ya madai ya muda mrefu ya fidia ya ardhi iliyotwaliwa tangu miaka ya 1980 ikimuhusisha Hermanus Steyn na Serikali ya Tanzania na kwamba kesi hiyo haina uhusiano wowote na Shirika la Ndege la ATCL na Shirika hilo halidaiwi.
“Kwenye awamu zote kulikuwa na makubaliano lakini ukifuatilia hatua za Kimahakama wanakubaliana lakini malipo hayafanyiki, kiasi kikubwa cha malipo kilifanyika katika awamu ya nne kikabaki kiasi kidogo ambacho ndio unaona amekwenda Afrika Kusini” – MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KUMBE MUSIBA NI MUONGO SANA.
ReplyDeleteMusiba Si Muongo.
DeleteMusiba NI Mzalendo na NI Muana harakati Huru.
Na yote ayasemayo yana Ukweli na NI Ukweli mtupu.
Kama umeguswa BASI umo.