AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sheikh Mustafa ametoa kauli hiyo wakati wa ibada ya Idi iliyofanyika mkoani humo, ambapo amesema wakati waislamu wakisherehekea sikukuu ya Idi hawana budi kuwaombea marehemu na majeruhi wa ajali ya Morogoro.
Aidha Sheikh huyo amewataka Waislamu wote kujiandaa na kifo kwa kumcha mwenyezi Mungu mara kwa mara maana hawajui wakatyi wala saa ambao Mungu atawachukua.
Aidha sheikh Mustafa amewataka waislamu kuepukana na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe, ndani ya Misikiti.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK