Sheik Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Awataka Waislamu kuliombea Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajab, amesema waumini wa Dini ya Kiislamu nchini hawana budi kuliombea Taifa, katika kipindi hiki kigumu, ambacho kinachopitia hasa kuhusiana na matukio ya ajali yanayotokea hivi sasa.


Sheikh Mustafa ametoa kauli hiyo wakati wa ibada ya Idi iliyofanyika mkoani humo, ambapo amesema wakati waislamu wakisherehekea sikukuu ya Idi hawana budi kuwaombea marehemu na majeruhi wa ajali ya Morogoro.

Aidha Sheikh huyo amewataka Waislamu wote kujiandaa na kifo kwa kumcha mwenyezi Mungu mara kwa mara maana hawajui wakatyi wala saa ambao Mungu atawachukua.

Aidha sheikh Mustafa amewataka waislamu kuepukana na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe, ndani ya Misikiti.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad