Spika Ndugai Awataka Watanzania kupanga Familia Kulingana na Uchumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Spika Ndugai awataka Watanzania kupanga familia kulingana na uchumi
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewataka watanzania kuwa na utaratibu wa kupanga familia kulingana na uchumi walionao.

Ameyasemayo jijini Dar es Salaam, baada ya kufungua mkutano wa wabunge kutoka bara la Asia na Afrika unahusu masuala ya idadi ya watu na maendeleo.

Akizungumza katika mkutano huo, Ndugai amesema kuwa wao kama bunge kazi yao kubwa ni kuishauri serikali katika sera mbalimbali ambazo zitasaidia katika kuhakikisha kunakuwa na idadi endelevu ya watu ambao wanaishi maisha marefu na pia yenye uchumi mzuri.

“Kuna baadhi ya nchi zilizoendelea sana kama Japani na kwingine ambako idadi ya watu sehemu kubwa ni wazee inategemewa idadi yao kupungua”.

“Uwe na idadi ya watu kuendana na uchumi wetu katika kiwango cha familia, kaya na baadae katika taifa kwa ujumla,”amesema Ndugai.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad