AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeripotiwa kuwa jarida la Forbes limetoa list mpya ya majina ya mwaka huu 2019 inayojumuisha wasanii wa kike wanaolipwa pesa nyingi kupitia kazi zao za muziki, list hii imeangalia kuanzia June 2018 mpaka June 2019.
Katika list hiyo mwimbaji Taylor Swift anashika nafasi ya kwanza na kutajwa kuwa anaingiza kiasi cha dola za Kimarekani Milioni 185 sawa na zaidi ya shilingi Bilioni 400 za Kitanzania na inatajwa kuwa kupitia ziara yake ya ‘Reputation Tour’ ambayo ilimuingizia kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 600
Mwimbaji Beyonce anashika nafasi ya pili ambapo mwimbaji Shakira naakamilisha list hiyo iliyotolewa na Forbes huku mwaka jana orodha hii iliongozwa na mwimbaji Katy Perry ambaye alitajwa kuingiza kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 100 za Kitanzania sawa na dola Mil. 83 za KImarekani.
HII NDIO LIST KAMILI YA WASANII WA KIKE
1. Taylor Swift – $185M
2. Beyonce – $81M
3. Rihanna – $62M
4. Katy Perry – $57.5M
5. Pink – $57M
6. Ariana Grande – $48M
7. Jennifer Lopez – $43M
8. Lady Gaga – $39.5M
9. Celine Dion – $37.5M
10. Shakira – $35M
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK