AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uwoya na Lava Lava walitinga kwenye shughuli hiyo wakisindikizana na kubembelezana kimahaba huku baadhi ya watu wanaoujua ukaribu wakisema; “Si tulisema ni wapenzi mkabisha?” Tukio hilo ndilo lililothibitisha uhusiano wao ambao umekuwa wa kujifichaficha. Mambo yalikuwa hivi; Uwoya ndiye aliyeanza kuingia ukumbini ambapo alikwenda kuketi na kwenye siti ya ubavu wake wa kulia aliweka kipochi chake ili asikae mtu mwingine.
Baada ya muda mfupi, Lava Lava naye aliingia eneo la tukio na kuonekana akiangaza pakukaa kisha akanyoosha moja kwa moja hadi kwa Uwoya ambapo alipofika alilakiwa kimahaba. Picha haikuishia hapo kwani wawili hao ni kama walikuwa wamechoka kuficha mambo yao kwani ilifikia wakati walipokuwa wakitaka kuinuka na kwenda sehemu walikuwa wakitembea kimahaba huku Lava Lava akilishikilia kimahaba gauni la Uwoya.
Wawili hao, kila mmoja alionekana kumnyenyekea mwenzake wakati wakivinjari kwenye bustani za hoteli hiyo. “Walificha weee…hadi wamechoka, sasa siyo siri tena, wameamua kuweka mambo hadharani,” alisikika mmoja wa wageni waalikwa wa shughuli hiyo akimuambia mwenzake
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK