VIDEO: Mzee wa Upako aibuka na waraka wa Kinana,Makamba ''mwacheni rais afanye kazi''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC)la jijini Dar es salaam, Anthony Lusekelo alimaarufu kama 'Mzee wa Upako' amempongeza Rais Magufuli kwa jithada zake za kupambana ili kuleta maendeleo, huku pia akifunguka kuhusiana na waraka ulioandikwa na waliokuwa makatibu wakuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Yusuph Makamba na Abdulrahman Kinana kusema kuwa kama angepata nafasi ya kuwashauri angewambia wasiandike waraka huo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad