Wanamgambo 18 wa al Shabaab Wauawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanamgambo 18 wa kundi la al Shabaab wauawa katika operesheni ya ushirikiano kati ya jeshi la Marekani na Somalia.

Jeshi la Marekani kwa ushirikiano na jeshi la Somalia limewaangamiza magaidi 18 wa kundi la al Shabaab katika operesheni  dhidi ya ugaidi.

Kituo cha redio cha jeshi la Somalia kimetoa taarifa kwamba jeshi la Somalia kwa ushirikiano na jeshi la Marekani limeendesha operesheni katika eneo la Shabelle na kuwaangamiza magaidi 18 wa kundi la al Shabaab.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad