Waziri Ummy atoa tahadhari ya Ebola kwa wananchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu ametoa tahadhari ya Ugonjwa wa Ebola kwa Wananchi katika mikoa yote ya Tanzania.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya, imetoa elimu kwa watanzania juu ya namna ya kuepuka ugonjwa huo ambao ni hatari.

Waziri Ummy amewataka wananchi kuchukua hatua stahiki za kujikinga na kudhibiti ugonjwa huu usiingie nchini.

Ebola imekuwa tishio kwa nchi kadhaa zinazopakana na Tanzania ikiwemo Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Wizara ya Afya Tanzania
@wizara_afyatz
 Wizara inapenda kutoa Tahadhari ya Ugonjwa wa Ebola kwa Wananchi katika Mikoa yote ya Tanzania na pia kuwataka kuchukua hatua stahiki za kujikinga, na kudhibiti ugonjwa huu usiingie nchini mwetu@Waziri Ummy Mwalimu#TaarifaKwaUmma@umwalimu@DocFaustine
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad