Afrika Kusini: Polisi Wawapiga Risasi Watuhumiwa Tisa wa Ujambazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Polisi ya Afrika Kusini wamewapiga risasi watuhumiwa tisa wa ujambazi katika mji wa Isipingo uliopo kilomita 19 kusini mwa Durban jimboni KwaZulu-Natal.

Kwa mujibu wa msemaji wa polisi ya mkoa Nqobile Gwala, polisi kwanza walivamia genge la watu wanane waliokuwa wanataka kuiba kwenye jengo la biashara.

Baada ya kuwaona polisi watuhumiwa hao walianza kuwafyatulia risasi, ambapo polisi nao walirejesha mashambulizi. Polisi pia wamekamata bunduki tatu, bastola sita, vilipuzi na vifaa vya kuvunjia kutoka kwa watuhumiwa waliouawa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad