AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askari 2 wa JWTZ kikosi cha 24 KJ Kigoma,wamefariki na 20 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Mkoani Katavi baada ya gari la jeshi lililokuwa limebeba askari kupinduka eneo la Hifadhi ya Taifa ya Katavi.
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kigoma Maweni, Lameck Mdengo amethibitisha vifo hivyo na kupokea majeruhi hao na kuwataja waliofariki ni Bakari Mohammed (38) na Rashid Mwimbe (28).
Majeruhi wengine wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini hapo.ncm
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK