Azam FC yatangulia Zmbabwe bila kocha mkuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kikosi cha Azam FC leo kimekwea pipa kuelekea Zimbabwe kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Triangle United.

Msafara wa leo umeongozwa na Kocha Msaidizi Idd Cheche akiwa na baadhi ya wachezaji ambao hawakuitwa timu ya Taifa.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 28 katika jiji la Bulawayo.

Mchezo wa kwanza uliopigwa uwanja wa Azam Complex, Azam ilikubali kichapo cha bao 1-0 ili isonge mbele ni lazima ishinde mchezo wa marudio kwa mabao zaidi ya mawili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad