Bondia mtanzania atwaa ubingwa wa A.B.U Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bondia Tony Rashid ambaye mwezi uliopita alifanikiwa kushinda ubingwa wa Afrika Mashariki na kati dhidi ya Haidari Mchanjo katika pambano ambalo lilifanyika club 361, Mwenge jana ameshinda ubingwa wa ABU.

Pambano hilo lililofanyika nchini Afrika Kusini lilikuwa na ushindani ambapo Tony alishinda kwa TKO raundi ya 11 akimshinda mpinzani wake wa Afrika Kusini.

Rashid amesema kuwa maandalizi mazuri yalimbebba kwenye pambano hilo na kumpa nafasi ya kuibuka na ubingwa huo.


“Nilijipanga na kufanya mazoezi ya kutosha kwa ajili ya pambano, shukrani kwa mashabiki kwa sapoti pamoja na jamaa wote ambao nipo nao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad