AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kwa kweli ile siku Wema aliniumiza sana. Hakuna siku ambayo nimejisikia vibaya kama siku ile nilivyoona hilo jibu la Wema kuhusu suala la ugumba, niliumia mno na siku yangu ikaharibika, yaani alinifanya siku yangu yoyote isipite bila kumuombea,” alisema Ester.
Kwa muda mrefu Wema amekuwa kwenye changamoto ya kutopata ujauzito, lakini hata hivyo hivi karibuni alikaririwa akisema tatizo hilo limeshatatuliwa na sasa anaweza kupata ujauzito.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK