Fahyma: Natongozwa sana, ila Siwezi Kumsaliti Mume Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MKE wa msanii wa Bongo Fleva ambaye ni memba wa Kundi la Wasafi Classic Baby ‘WCB’ Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ Fahyma amesema anapata usumbufu wa kutongozwa na wanaume wengi wakimtaka kimapenzi ila kambwe hawezi kumsaliti mumewe.

Akibonga na Za Motomoto ya Risasi, Fahyma ambaye pia ni mwanamitindo alisema kuwa wanaume wengi wamekuwa wakimfuata DM (Direct Message) kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumtongoza bila hata kuogopa kwamba yeye sasa hivi ni mke wa mtu.

“Natongozwa sana na wanaume DM, wengi wananitaka kimapenzi lakini siwezi kuwa nao kwa sababu mimi tayari ni mke wa mtu na nampenda sana mume wangu (Rayvanny), tena sijawahi kufikiria kabisa kumsaliti kwa sababu ananionyesha upendo wa kweli na kunijali pia,” alisema
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad