AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
NI Headlines za mtanzania anaecheza mpira wa kikapu ,Hasheem Thabeet ambapo wiki kadhaa zilizopita alionekana kwenye ukurasa wa instagram wa klabu ya New York Knicks akiwa na wachezaji wenzake pamoja na makocha wao.
Sasa leo Sept 19, 2019 imetoka taarifa nyingine kwamba Hasheem yuko kwenye majaribio na timu kuangaliwa uwezekano wa kusajiliwa na kwasasa ninazungumza yupo na ratiba ya kushiriki mazoezi na club hiyo ya Knicks kwa mara nyingine wiki hii huko Westchester.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK