Kesi ya Mauaji ya Naomi:Mahakama Yasema Upelelezi upo Katika Hatua za Mwisho Kukamilika.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


UPANDE wa Jamhuri leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umesema upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, upo katika hatua za mwisho kukamilika.



Akiiambia mahakam hiyo Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, amemweleza Hakimu Mkazi, Salum Ally, kuwa upelelezi wa kesi hiyo upo katika hatua nzuri na za mwisho kukamilika. Wankyo ameomba shauri hilo liahirishwe hadi tarehe nyingine.



Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 7, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na mshtakiwa amerudishwa rumande. Mshitakiwa anakabiliwa na kosa la mauaji ambapo anadaiwa alilitenda Mei 15, 2019, katika oneo la Geza Ulole Kigamboni Dar es Salaam alipomuua mtu anayeitwa Naomi Marajani.



Hamis anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa kisha kuyafukia shambani majivu ya mwili wa marehemu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad