Kocha Julio Amkana Manula Mbele ya Kaseja...Manula Inabidi Apambane

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji wa zamani wa klabu ya Simba, Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema kuwa anakubaliana na maamuzi ya Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Ettiene Ndayiragije kutomjumuisha golikipa Aishi Manula kwenye kikosi cha Taifa Stars.


Julio amesema kuwa uamuzi huo ni sahihi kwakuwa golikipa namba moja wa sasa wa Taifa Stars, Juma Kaseja ni mzoefu kuliko Manula.

"Unajua Kaseja ana uzoefu mkubwa kuliko Manula, kwangu Manula kuachwa Stars ni maamuzi sahihi kwa Kocha. Anapaswa kukaa chini na kujitafakari amekosea wapi na pia ajifunze kutoka kwa Kaseja namna alivyopambana mpaka kufika hapo alipo", amesema Julio.

Ikumbukwe kuwa hii ni mara ya pili kwa Manula kutojumuishwa katika kikosi, ambapo mara ya kwanza aliachwa katika mchezo dhidi ya Kenya pamoja na mchezo dhidi ya Burundi, na sasa ameachwa katika kikosi kinachojiandaa katika mchezo dhidi ya Sudan.

Julio ambaye hivi sasa ameachana na kazi ya kufundisha soka kwa muda, baada ya kupitia klabu kadhaa kama kocha ikiwemo Simba, Mwadui FC na Dodoma FC.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad