AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa zamani na mchezaji pia wa timu ya taifa ya Nigeria Samson Siasia, zimepita wiki 10 sasa (zaidi ya miezi miwili na nusu) tangu mama yake mzazi atekwe na watu wasiojulikana.
John Obi Mikel amewahi kuwa mhanga wa tukio kama hili wakati huo timu ya taifa ya Nigeria ikiwa inashiriki michuano ya kombe la dunia baba yake alitekwa na baadaye kumwachia baada ya kupewa fedha.
Hivi karibuni Siasia alipigwa hukumu ya maisha kutojihusisha na masuala ya soka baada ya kugundulika kuwa anajihusisha la masuala ya upangaji watokeo. Siasa alikata rufaa na shauri lake linasubiri kusikilizwa upya
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK