Lulu Diva Afunguka Kuhusu kumtafutia wanawake Idris

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Msanii wa BongoFleva Lulu Diva "Sex Lady", leo amenyoosha maelezo kwa kile kinachosemwa kuwa anamtafutia wanawake ndugu yake Idris Sultan.

"Hamna ila kama akiniomba namba nampa kama anaijua namba ya mtu huwa nampa sasa sijui wanaongeaga nini labda huenda ni biashara, siwezi kuhukumu moja kwa moja lakini siwezi kumtongozea mtu yeyote mwanamke siyo Idris tu''

Lulu Diva ameongeza kusema kuwa ameshampa Idris Sultan namba nyingi tu hata za watu wa kawaida kwa sababu kuna muda mwingine huwa anakuwa na ziara yake na anahitaji wanamitindo. ameeleza Lulu Diva.

Ameendelea kusema huwa hamtafutiagi wanawake ilimradi tu lakini mara nyingi huwa anamtafutia kwa ajili ya kazi.

Aidha Lulu Diva ameeleza undugu wake na Idris Sultan ni watoto wa Baba mkubwa na mdogo japokuwa wamezaliwa mikoa miwili tofauti, Lulu Diva ni mzaliwa wa Tanga na Idris Sultan amezaliwa Arusha.

Pia msanii huyo ameogopa kumtaja mwanaume ambaye alimtongoza halafu akamkatalia kwa kuhofia watu watamjua.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad