AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huesca iliyopanda ligi kuu ya Uhispania (La Liga) inadai kuwa, walishafikia makubalinao ya kumnunua Ghoddos kutoka klabu yake ya Sweden na kwamba mchezaji huyo alishasaini mkataba.
Kamati ya utatuzi migogoro ya FIFA imebaini kuwa klabu hiyo ya Uhispania ilikuwa sahihi, mbali na kumfungia Ghoddos, FIFA imemtaka pia mchezaji huyo kuilipa fidia klabu hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK