Mchezaji Aliyekataa Kuchezea Timu Iliyomsajili Afungiwa na FIFA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchezaji wa kimataifa wa Iran mwenye asili ya Sweden Saman Ghoddos, amefungiwa kucheza soka kwa muda wa miezi minne na Shirikisho la soka duniani (FIFA) kutokana na kushindwa kuheshimu makubaliano aliyofikia ya kujiunga na klabu ya SD Huesca.

Huesca iliyopanda ligi kuu ya Uhispania (La Liga) inadai kuwa, walishafikia makubalinao ya kumnunua Ghoddos kutoka klabu yake ya Sweden na kwamba mchezaji huyo alishasaini mkataba.

Kamati ya utatuzi migogoro ya FIFA imebaini kuwa klabu hiyo ya Uhispania ilikuwa sahihi, mbali na kumfungia Ghoddos, FIFA imemtaka pia mchezaji huyo kuilipa fidia klabu hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad