Mourinho Anaamini Eto’o alistahili Ballon d’Or

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kocha Jose Mourinho ambaye amewahi kumfundisha mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon Samuel Eto’o katika club ya Inter Milan amekiri kuwa staa huyo anastahili Ballon d’Or.

Eto’o mwenye umri wa miaka 38 mapema wiki hii alitangaza kustaafu kucheza soka akiwa amecheza game 759 za club na kufunga magoli 370 ila kushinda kwake mataji mawili ya UEFA Champions League katika jumla ya mataji 8 aliyotwa Barcelona kwa mchango.

Kushinda taji moja la UEFA Champions Leafue akiwa na Inter Milan kati ya mataji sita akiyowahi kutwaa katika club hiyo Mourinho anaamini, staa huyo wa Cameroon aliyewahi kushinda mataji ya AFCON marabmbilia alistahili kushinda Ballon d’Or.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad