Nick Minaj Atangaza Kuachana na Muziki

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Rapper wa kike kutokea Marekani, Onika Tanya Maraj maarufu kama Nick Minaj  jana Septemba 5, 2019,  ameutangazia umma kustaafu kazi ya muziki.

Staa huyo ametangaza hayo kupitia mtandao  wa Twitter kwamba:

’Nimeamua kustaafu niwe na familia yangu najua kwa sasa mtakuwa na furaha, kwa mashabiki zangu endeleeni kushirikiana na mimi mpaka kifo changu’– Nick Minaj.

Baada ya  kuandika ujumbe huo mashabiki wamekuwa na maswali pasipo na majibu juu ya uamuzi huo uliofanywa na staa huyo.

Rekodi ya mwisho ambayo ilimrudisha kwenye ‘headlines’ mnamo June 21, 2019, inaitwa Megatron ambayo kupitia mtandao wa Youtube imetazamwa na zaidi ya watu 64,011,930.

_________

 Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad