AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhispania Rafa Nadal ameshinda ubingwa wa US Open 2019 baada ya kumfunga Mrusi Daniil Medvedev kwa seti 7–5, 6–3, 5–7, 4–6, 6–4 katika mchezo wa fainali.
Nadal,33, sasa ameshinda ubingwa wa US Open kwa mara ya nne na hii ni Grand Slam yake ya 19 kuchukua, moja nyuma ya Roger Federer mwenye 20.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK