Sasa Mambo Safi! Wema, Mobeto wamaliza bifu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya kuishi kwa muda mrefu huku ikidaiwa hawaivi, warembo Wema Sepetu na Hamisa Mobeto wameonesha kwamba hawana tena kinyongo kati yao baada ya kila mmoja kumfuata mwenzake (kum-follow) kwenye ukurasa wa Instagram.

Kwa nyakati tofauti hivi karibuni, wawili hao walichukua muda wao kufuatana kwenye ukurasa wa Instagram japo haifahamiki ni nani alimuanza mwenzake lakini wananzengo walitupia picha ya wawili hao kuonesha kufuatana na kuwapongeza.


“Kwa hiyo lile bifu kati ya warembo hawa ndio lishaisha? Ila mna akili sana watoto wazuri bora mmemaliza hilo bifu maana mwanaume mwenyewe mnaemgombania kawabwaga wote sa hivi pigeni tuu kazi na msapotiane,” aliandika malkiawaudaku


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad